Mt. Gilberti.

Gilberti wa Sempringham (Sempringham, karibu na Bourne, Uingereza, 1083 hivi -Sempringham, 4 Februari 1189) alikuwa padri halafu abati wa shirika la kimonaki alilolianzisha kwa idhini ya Papa Eujeni III, la pekee kuanzishwa nchini, likiwa na waklero waliofuata kanuni ya Mt. Augustino na wanawake waliofuata ile ya Mt. Benedikto [1].

Alitangazwa na Papa Inosenti III kuwa mtakatifu tarehe 11 Februari 1202.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Februari[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/39550
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.