Kundi la G8 lilikuwa likikusanya viongozi wa nchi 8 zilizoendelea sana kabla ya Russia kusimamishwa mwaka 2014 kwa sababu ya kuteka Krimea.[1][2][3] Tangu hapo, kundi limebaki na nchi za G7 pamoja na Umoja wa Ulaya.

Tanbihi

  1. "Thinking Ahead: The 'One-Time' G-22 Looks Useful", nyt.com. Retrieved on 2014-03-01. 
  2. FACTBOX: The Group of Eight: what is it?, Reuters
  3. "Russia Is Ousted From Group of 8 by U.S. and Allies". Retrieved on 2014-03-25. 

Marejeo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
G8