Sanamu ya dhahabu ya Frederick I (1171).

Frederick I (Kijerumani: Friedrich; 112210 Juni 1190), maarufu kama Frederick Barbarossa kutokana na ndevu zake nyekundu,[1] alikuwa Kaizari ya Dola Takatifu la Kiroma kuanzia 1155 hadi kifo chake wakati wa vita vya msalaba.

Kabla ya hapo alikuwa mfalme wa Ujerumani kuanzia 1152 na mfalme wa Italia mwaka 1155.

Halafu alitiwa pia taji la mfalme wa Burgundy, huko Arles tarehe 30 Juni 1178.

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]
  1. Canduci, pg. 263

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]

Ya awali

[hariri | hariri chanzo]

Ya baadaye

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Friedrich I. Barbarossa

Angalia pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Ujerumani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Frederick I Barbarossa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.