Hifadhi ya taifa ya Milima Sibilini (mikoa ya Marche na Umbria)
Corno Grande.
Monte Vettore.

Apenini (kwa Kiitalia: Appennini) ni safu ya milima inayounda uti wa mgongo wa rasi ya Italia kwa urefu wa km 1,200 na upana hadi km 250.

Kwa kiasi kikubwa ni ya kijani, isipokuwa kwenye barafuto ya kilele kirefu zaidi, Corno Grande (mita 2,912 juu ya usawa wa bahari).[1].

Vilele vingine 20, hasa vya Apenini ya Kati, vina kimo cha walau mita 1,900.

Jina Urefu
Corno Grande
(Gran Sasso d'Italia)
m 2 912 (ft 9 554)
Monte Amaro
(Majella)
m 2 793 (ft 9 163)
Monte Velino m 2 486 (ft 8 156)
Monte Vettore m 2 476 (ft 8 123)
Pizzo di Sevo m 2 419 (ft 7 936)
Monte Meta m 2 241 (ft 7 352)
Monte Terminillo m 2 217 (ft 7 274)
Monte Sibilla m 2 173 (ft 7 129)
Monte Cimone m 2 165 (ft 7 103)
Monte Cusna m 2 121 (ft 6 959)
Montagne del Morrone m 2 061 (ft 6 762)
Monte Prado m 2 053 (ft 6 736)
Monte Miletto m 2 050 (ft 6 730)
Alpe di Succiso m 2 017 (ft 6 617)
Monte Pisanino m 1 946 (ft 6 385)
Corno alle Scale m 1 915 (ft 6 283)
Monte Alto m 1 904 (ft 6 247)
La Nuda m 1 894 (ft 6 214)
Monte Maggio m 1 853 (ft 6 079)
Monte Maggiorasca m 1 799 (ft 5 902)
Monte Giovarello m 1 760 (ft 5 770)
Monte Catria m 1 701 (ft 5 581)
Monte Gottero m 1 640 (ft 5 380)
Monte Pennino m 1 560 (ft 5 120)
Monte Nerone m 1 525 (ft 5 003)
Monte Fumaiolo m 1 407 (ft 4 616)

Tanbihi

  1. Pederotti 2003, p. 75

Marejeo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Apennine Mountains
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Apenini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.