Abdirahman Ali Hassan ni mwanasiasa wa Kenya. Akihudumu katika serikali ya Kenya kama waziri msaidizi wa biashara na viwanda kuanzia 2005 hadi 2007.[1]Pia alikuwa mwanachama wa orange democratic movement,akiwakilisha eneo la Wajir kusini katika bunge la kitaifa la Kenya katika uchaguzi wa 2002.[2]Pia alichaguliwa katika seneti ya Kenya mwaka wa 2013, [3] akiwakilisha kaunti ya Wajir, na kuwa naibu kiongozi katika seneti.[4][5][6]
Makala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |